6/recent/ticker-posts

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt.Hussein Ali Mwinyi Akizungumza na Kutoa Mkono wa Pole kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan Kwa Kufiwa na Mume Wake

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Mzee Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena,  tarehe 07 Sept, 2026.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Maryam Mwinyi akimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Mzee Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena,  tarehe 07 Sept, 2026.

 

Post a Comment

0 Comments