6/recent/ticker-posts

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj.Hemed Suleiman Abdulla Amejumuia na Waumini wa Kiislam Katika Sala ya Ijumaa Iliyofanyika Msikiti wa Maisara

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na Viongozi wa Msikiti wa Maisara alipowasili katika viwanja vya msikiti huo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa iliyofanika leo 11- 9-2026.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislam katika Ibada ya Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa katika Msikiti wa Maisara, Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.

Imetolewa na Kitengo cha Habari ( OMPR )

Tarehe  11 Septemba, 2026

Post a Comment

0 Comments