Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na waumini wa Dini ya Kiislam katika Ibada ya Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa katika Msikiti wa Maisara, Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Imetolewa na Kitengo cha Habari ( OMPR )
Tarehe 11 Septemba, 2026


0 Comments