Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhajj Dkt. Hussein Ali Mwinyi,amejumuika na Viongozi mbalimbali wa Serikali,Dini, Wananchi na Wanafamilia katika kisomo cha hitma na dua kumuombea Marehemu Hafidh Ameir Hassan, aliyekuwa Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, iliyofanyika katika Masjid Ikhtiswam Kizimkazi Mkunguni, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar leo 9-9-2026.





.jpg)



0 Comments