6/recent/ticker-posts

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Mzee Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena Zanzibar,  tarehe 07 Sept, 2026.
Rais  Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete Ndejembi akimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Mzee Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena Zanzibar,  tarehe 07 Sept, 2026.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla  akimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Mzee Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena Zanzibar,  tarehe 07 Sept, 2026.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zubeir Ali Maulid akimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Mzee Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena Zanzibar,  tarehe 07 Sept, 2026.




Mke wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Dkt. Amani Abeid Karume Mama Shadya Karume akimfariji  Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika nyumbani kwake Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja, kufuatia kufiwa na Mume wake Mzee Hafidh Ameir Hassan aliyefariki Dunia katika Hospitali ya Mzena Zanzibar,  tarehe 07 Sept, 2026.

Post a Comment

0 Comments