6/recent/ticker-posts

Waziri Mkuu Atatua Mgogoro wa Ardhi Uliodumu Kwa Miaka 28 Goba Jijini Dar es Salaam

 

Mwenyekiti wa Timu ya Watalaam kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu na Msaidizi wa Waziri Mkuu-Mahusiano, Asasi  za Kiraia na Mashirika yasiyo ya Kiserikiali,Tryphone Mkolokoti akiongoza kikao cha maridhiano ya mgogoro wa ardhi  viwanja namba 202, 203,204 na 205 Goba jijini Dar es salaam kati ya Bi. Alia Shariff na Bi. Devotha Elisei, kwenye viwanja hivyo, Agosti 15, 2026. Kushoto ni Kamishina wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Dar es salaam, Shukurani Kyando.
Mwenyekiti wa Timu ya Watalaam kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu na Msaidizi wa Waziri Mkuu-Mahusiano, Asasi za Kiraia na Mashirika yasiyo ya Kiserikiali,Tryphone Mkolokoti akiongoza kikao cha maridhiano ya mgogoro wa ardhi  viwanja namba 202, 203,204 na 205,  Goba jijini Dar es salaam kati ya Bi. Alia Shariff na Bi. Devotha Elisei, kwenye viwanja hivyo, Agosti 15, 2026. Kulia ni Katibu wa Timu hiyo na Msaidizi wa Waziri Mkuu Masuala ya Ardhi, Senso Magesa na wa tatu kulia ni Kamishina wa Ardhi Msaidizi Mkoa wa Dar es salaam, Shukurani Kyando. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

0 Comments