Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemjulia hali, Mama Fatma Karume,Mjane wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume, ambaye anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Lumumba Zanzibar. Tarehe 13 Agosti 2026.
TTCL YAWEKA INTANETI YA KISASA AMANI RESIDENCY KIZIMKAZI
-
Na Mwandishi Wetu - Zanzibar
Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeendelea kuunga mkono juhudi za
Serikali za kujenga mazingira wezeshi kwa uchu...
12 hours ago


0 Comments