Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Viwanja vya Kufurahisha Watoto vya Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza baada ya kufungua Viwanja vya Kufurahisha Watoto vya Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 12 Agosti, 2026.
Mandhari ya Viwanja vya Kufurahisha Watoto vya Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar ambavyo vimefunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 12 Agosti, 2026. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na vijana wa Assalam Community wa Kizimkazi Mkunguni baada ya kufungua Viwanja vya Kufurahisha Watoto vya Kizimkazi, tarehe 12 Agosti, 2026.












.jpeg)

0 Comments