6/recent/ticker-posts

Rais Mhe. Dkt. Samia awaapisha Wakuu wa Mikoa ya Mbeya, Geita, Pwani, Mwanza pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha Mhe. Jumanne Abdallah Sagini kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026.  

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha Mhe. Alexander Pastory Mnyeti kuwa Mkuu wa Mkoa wa Geita kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026.

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026. 

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha CP Salum Rashid Hamduni kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026. 

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha Ndugu Richard Marcellino Kayombo kuwa Katibu Tawala, Mkoa wa Pwani kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026.

Viongozi wakila kiapo cha Maadili kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026. 






 
Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho wa Wakuu wa mikoa ya Mbeya, Geita, Pwani, Mwanza pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026.

Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho wa Wakuu wa mikoa ya Mbeya, Geita, Pwani, Mwanza pamoja na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani katika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026. 

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye picha na Wakuu wa Mikoa baada ya hafla ya Uapisho wa Viongozi mbalimbali iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026.

Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa kwenye picha na Wakuu wa Mikoa baada ya kuwaapisha kwenye hafla iliyofanyika Ikulu Ndogo ya Tunguu, Zanzibar tarehe 02 Septemba, 2026. Kutoka kushoto ni; Mhe. Alexander Pastory Mnyeti Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Jumanne Abdallah Sagini, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, pamoja na CP Salum Rashid Hamduni, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.


Post a Comment

0 Comments