Mashabiki na Wapenzi wa mchezo wa Mpira wa Miguu Zanzibar wakifuatilia mchezo wa ufungzi wa Ligi Kuu ya Zanzibar Kati ya KVZ na Polisi mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong.Timu ya Polisi imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Golikipa wa Timu ya KMKM akidaka mpira wakati wa mchezo wa wa kwanza wa Ligi Kuu ya Zanzibar, uliyofanyika katika Uwamja wa Mao Zedong dhidi ya Timu ya Kuanga. Katika mchezo huo Timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
Ligi Kuu ya Zanzibar itaendelea leo 30-8-2026 kwa kuzikutanisha Timu ya JKU na Mlandege mchezo utakaofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong saa kumi jioni.


0 Comments