6/recent/ticker-posts

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Alhajj Hemed Suleiman Abdulla Atowa Mkono wa Pole Kwa Familia ya Marehemu Khalifa Salum (Mimina) Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar

 

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Khalifa Salum Suleiman,(MIMINA) aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar na Mjumbe wa NEC,  alipofika nyumbani kwa marehemu Masingini Wilaya ya Magharibi "A" Unguja kutoa mkono wa Pole kwa familia, aliyefariki tarehe 26 Augosti 2026 na kuzikwa Kijijini kwao Kiboje Wilaya ya Kati Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akisalimiana na kutowa mkono wa pole kwa Familia ya Marehemu Khalifa Salum Suleiman,(MIMINA) aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar na Mjumbe wa NEC,  alipofika nyumbani kwa marehemu Masingini Wilaya ya Magharibi "A" Unguja kutoa mkono wa Pole kwa familia, aliyefariki tarehe 26 Augosti 2026 na kuzikwa Kijijini kwao Kiboje Wilaya ya Kati Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akizungumza na kutowa mkono wa pole kwa familia ya Marehemu Khalifa Salum Suleiman aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar na Mjumbe wa NEC, alipofika nyumbani kwa marehemu Masingini Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, aliyefariki tarehe 26 Augosti 2026 na kuzikwa Kijijini kwao Kiboje Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akijumuika na familia ya Marehemu Khalifa Salum Suleiman (MIMINA) aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Tunguu Zanzibar, kuitikia dua ya kumuombea marehemu, baada ya kumaliza kutowa mkono wa pole, alipofika nyumbani kwa marehemu Masingini Wilaya ya Magharibi "A" Unguja, aliyefariki tarehe 26 Augosti 2026 na kuzikwa Kijijini kwao Kiboje Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja.

Post a Comment

0 Comments