Sheikh Mziwanda akihitimisha Kisoma cha Hitma kumuombea Marehe Ramadha Haji Faki kilichofanyika katika Masjid Mushawar Muembeshauri Wilaya ya Mjiniu Unguja leo kabla ya kuusalia mwili wa Marehemu kwa ajili ya maziko yaliofanyika Kijiji kwao Mkoa wa Kaskazini Unguja.
RED CROSS SIMIYU NA ZIMAMOTO WAJIPANGA KUKABILIANA NA MVUA ZA EL-NINO KWA
MAFUNZO YA HUDUMA YA KWANZA
-
Red Cross Mkoa wa Simiyu imeendesha mafunzo maalum ya huduma ya kwanza kwa
kushirikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Simiyu. Mafunzo hayo
yamefa...
1 hour ago
0 Comments