6/recent/ticker-posts

MAKAMU WA RAIS AMTEMBELEA RAIS MSTAAFU WA ZANZIBAR NA MAKAMU WA RAIS MSTAAFU DKT. SHEIN


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar na Makamu wa Rais  Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Ali Mohamed Shein alipofika katika makazi yake Kibele Mkoa wa Kusini Unguja, kumtembelea na kumjilia hali.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi akisalimiana na Mama Mwanamwema Shein, alipofika katika makaazi ya  Rais Mstaafu wa Zanzibar na Makamu wa Rais  Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Ali Mohamed Shein, Kibele Mkoa wa Kusini Unguja, kumtembelea na kumjulia hali yake leo 2,9,2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Deogratius Ndejembi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Zanzibar na Makamu wa Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, katika makazi yake Kibele, Mkoa wa Kusini Unguja, leo tarehe 02 Septemba 2026.

Post a Comment

0 Comments