6/recent/ticker-posts

WAZIRI MKUU ATETA NA MKURUGENZI MTENDAJI WA BENKI YA DUNIA WA KANDA NAMBA MOJA YA AFRIKA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Kanda Namba Moja ya Afrika, Bw. Zarau Wendeline Kibwe, ofisini Bungeni jijini Dodoma, Agosti 28, 2026.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Kanda Namba Moja ya Afrika, Bw. Zarau Wendeline Kibwe, ofisini Bungeni jijini Dodoma, Agosti 28, 2026.

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Kanda Namba Moja ya Afrika, Bw. Zarau Wendeline Kibwe (kushoto) na Waziri wa Fedha Balozi Khamis Mussa Omar (kulia), ofisini Bungeni jijini Dodoma, Agosti 28, 2026. 
 Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia anayeshughulikia Kanda Namba Moja ya Afrika, Bw. Zarau Wendeline Kibwe, ofisini Bungeni jijini Dodoma, Agosti 28, 2026.
 (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU).

Post a Comment

0 Comments