6/recent/ticker-posts

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa Kuzalisha Megawati 2115, Rufiji mkoani Pwan



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Dkt. Mostafa Kamal Madbouly baada ya kuzindua Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji mkoani Pwani tarehe 22 Agosti, 2026.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), chenye uwezo wa kuzalisha Megawati 2115 katika eneo la Rufiji mkoani Pwani, tarehe 22 Agosti, 2026. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Bw. Lazaro Twange, kuhusu Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji mkoani Pwani, tarehe 22 Agosti, 2026. Kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha Megawati 2115, na mradi huo umetumia fedha za ndani kiasi cha Shilingi Trilioni 7.452 hadi kukamilika kwake. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Bw. Lazaro Twange, kuhusu Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji mkoani Pwani, tarehe 22 Agosti, 2026. Kituo hicho kina uwezo wa kuzalisha Megawati 2115, na mradi huo umetumia fedha za ndani kiasi cha Shilingi Trilioni 7.452 hadi kukamilika kwake. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri Dkt. Mostafa Kamal Madbouly baada ya kuwasili katika Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP), Rufiji mkoani Pwani tarehe 22 Agosti, 2026. 


 

Post a Comment

0 Comments