6/recent/ticker-posts

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Mwigulu Nchemba Ashiriki Jubilee ya Jimbo Katoliki Mpanda

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza katika Jubilee ya miaka 25 ya Jimbo Katoliki la Mpanda zilizofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Saint Mary’s  mjini Mpanda, Agosti 30, 2026.
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba akishiriki Ibada ya Jubilee ya Miaka 25 ya Jimbo Katoliki Mpanda iliyofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari St. Mary’s mjini Mpanda Agosti 30, 2026.
Watoto wa Shirika la Mtakatifu PMS Jimbo Katoliki Mpanda wakiimba katika Ibada ya Misa ya Jubilee ya miaka 25 ya Jimbo hilo kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari ST.  Mary’s mjini Mpanda, Agosti 30, 2026. 

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akimtuza mtoto Ritha Msangama aliyekuwa akiimba pamoja na Watoto wa Shirika la Mtakatifu PMS jimbo la Mpanda ikiwa ni moja ya shamrashamra za Jubilee ya miaka 25 ya Jimbo Katoliki Mpanda kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari  ST. Mary’s mjini Mpanda, agosti  30, 2026.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akimpongeza Askofu Jimbo la Mpanda Eusebius Nzigilwa baada ya kuzungumza katika Ibada ya Misa ya Jubilei ya miaka 25 ya Jimbo hilo leo tarehe 30 Agosti,


Post a Comment

0 Comments