Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii (UN Tourism), Bi. Shaikha Nasser Al Nowais pembezoni mwa mkutano wa Jukwaa la Serikali za Dunia (WGS2026), tarehe 03 Februari, 2026 Madinat Jumeirah, Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), ambapo walijadili kuhusu kuimarisha ushirikiano wa Tanzania na UN Tourism katika undeshaji wa shughuli za utalii, ikiwemo utekelezaji wa miradi mikubwa ya kimkakati katika sekta hiyo nchini.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
1 day ago


0 Comments