Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) anayesimamia Utawala na Udhibiti wa Ndani, Dkt. Rahma Salim Mahfoudh, amewasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya BoT jijini Dar es Salaam, ambapo amepokelewa na Gavana wa BoT, Bw. Emmanuel Tutuba, pamoja na viongozi waandamizi wa Benki Kuu, tayari kwa kuanza kutekeleza majukumu yake mapya.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
1 day ago
.jpeg)
.jpeg)

0 Comments