Mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Kati ya Azam na Nairobi United Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Azam Imeshinda Mchezo Huo Kwa Bao 1-0
Mchezaji wa Timu ya Azam Feisal Salum Feitoto akijiandaa kumpita beki wa Timu ya Nairobi United , katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Complex Zanzibar.Timu ya Azam imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhe. Abdallah Mitawi, ametembelea
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa lengo la kufahamu kwa kina
ma...
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
0 Comments