Mshambuliaji wa Timu ya TRA United Enock Mkanga (kulia) na (kushoto) beki wa Timu ya KVZ Juma Shaban Hussein wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex, katika mchezo huo Timi hizo zimetoka sare ya bao 1-1.
MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA
TAIFA 2050
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Serikali
inaendelea kufanya maboresho katika Sheria mbalimbali ili kuweka mazingira
weze...
13 hours ago







0 Comments