Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi pamoja na Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (East Africa Law Society) kabla ya kufungua Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki EALS pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki EALS pamoja na viongozi mbalimbali wakiwa kwenye Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Afrika Mashariki (East Africa Law Society) mara baada ya kufungua Mkutano wa 27 wa Chama hicho uliofanyika Jijini Arusha tarehe 24 Novemba, 2022.
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhe. Abdallah Mitawi, ametembelea
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa lengo la kufahamu kwa kina
ma...
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
0 Comments