Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia vitunguu, kwenye banda la Kikundi cha KONGA, wakati akikagua mabanda katika Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi Duniani, yaliyofanyika Kitaifa katika uwanja wa Mandela, Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Desemba 1, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA
TAIFA 2050
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Serikali
inaendelea kufanya maboresho katika Sheria mbalimbali ili kuweka mazingira
weze...
14 hours ago
0 Comments