Mradi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF) Ujenzi wa Jengo la Maduka ya Kisasa la Thabit Kombo Michezani Jijini Zanzibar likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi huo katika eneo la michezani Kisonge kama linavyoonekana pichani.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
1 day ago
0 Comments