Muonekano wa kupendeza na kuvutiwa likioneka jengo Jipya la ZURA lilioko katika eneo la Maisara Suleiman Jijini Zanzibar. kama linavyoonekana wakati wa usiku likiwa likipendeza, linatarajiwa kuaza kutumia katika mwezi wa Juni 2020.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
2 hours ago

0 Comments