Wachezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar wakiingia Uwanjani wakiwa wameshikilia Ngao ya Hisani ya Ufunguzi wa Ligi Kuu ya Zanzibar . mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar uliozikutanisha Timu za KMKM Mabingwa wa Zanzibar mwaka 2018 /2019 na Timu ya Malindi. kushoto Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar na Timu ya Malindi Zanzibar Mzee Salum Nassor Mkweche na kulia mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa na Timu ya Jeshi na Ujamaa Mzee Mohammed Ahmed Mwanga.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
15 hours ago
0 Comments