Mchezaji wa Timu ya Chipukizi akimpitabeki wa Timu ya Mlandege, wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika katika Uwanja wa Mao. Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao.4-1.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
10 hours ago
0 Comments