Askari wa Kikosi cha Usalama barabarani Visiwani Zanzibar wakiwa katika zoezi la ukaguzi wa vyombo vya moto katika eneo la barabara ya bububu Unguja kama walivyokutwa na camera yetu wakiwa kazini. katika zoezi hilo la ukuguzi.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
12 hours ago
0 Comments