Uongizi wa Benki ya Watu wa Zanzibar unatoa pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania wote kwa ajali mbaya ya MV Nyerere iliyotokea tarehe 20.09.2018
Mwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi. Amin
Tunawaombea majeruhi wote wapone haraka.
MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA
TAIFA 2050
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Serikali
inaendelea kufanya maboresho katika Sheria mbalimbali ili kuweka mazingira
weze...
12 hours ago


0 Comments