Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akibadilishana mawazo na Mwenyekiti mstaafu wa Chama hicho Bwana Msobi Magene alipokwenda kumtembelea na kumjuilia hali nyumbani kwake Mwanza hivi karibuni.
Kwakweli, migogoro wakati mwengine inasaidia, si unaona, maalim anafanya ziara kila pembe ya nchi pamoja na kuwatembelea baadhi ya viongozi na wanachama wakongwe wa CUF.
Sasa kama wanayolalamikia wenzake ameyaona na kuyafanyia kazi, huo ndio uungwana, ugomvi tena uko wapi?..Akimaliza musobi amtembelee na yule mzee wa ndijani..khalass!
WANANCHI WAPEWA NAFASI KUCHAGUA KAZI BORA SKA 2026
-
Na Mwandishi Wetu.
Dar es Salaam, Septemba 3, 2026: Wananchi wamehimizwa kujitokeza kwa wingi
kupigia kura kazi 294 za uandishi wa habari na makala za mae...
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhe. Abdallah Mitawi, ametembelea
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa lengo la kufahamu kwa kina
ma...
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
1 Comments
Kwakweli, migogoro wakati mwengine inasaidia, si unaona, maalim anafanya ziara kila pembe ya nchi pamoja na kuwatembelea baadhi ya viongozi na wanachama wakongwe wa CUF.
ReplyDeleteSasa kama wanayolalamikia wenzake ameyaona na kuyafanyia kazi, huo ndio uungwana, ugomvi tena uko wapi?..Akimaliza musobi amtembelee na yule mzee wa ndijani..khalass!