6/recent/ticker-posts

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Alhajj Hemed Suleiman Amjulia Hali Spika Mtaafu Mhe.Pandu Ameir Kificho Nyumbani Kwake Mpendae

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla akimjuilia hali Spika Mstaafu wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Pandu Ameir Kificho nyumbani kwake Mpendae Juu Wilaya ya Mjini Unguja.

Imetolewa na Kitengo cha Habari ( OMPR )   tarehe  21.08.2026.




Post a Comment

0 Comments