Meneja
Muandamizi Mahusiano ya Benki ya NMB na Serikali CPA Jaha Haji Khamis akimkabidhi zawadi ya Mchezaji
Mwenye Nidhamu Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 kutoka Timu ya Mlandege Jamal
Saleh Ali, wakati wa mchezo wao na Timu ya URA, uliyofanyika katika Uwanja wa New
Amaan Complex Zanzibar. Timu ya URA imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI KUWEZESHA UTEKELEZAJI WA DIRA YA
TAIFA 2050
-
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amesema kuwa Serikali
inaendelea kufanya maboresho katika Sheria mbalimbali ili kuweka mazingira
weze...
13 hours ago


0 Comments