Meneja
Muandamizi Mahusiano ya Benki ya NMB na Serikali CPA Jaha Haji Khamis akimkabidhi zawadi ya Mchezaji
Mwenye Nidhamu Michuano ya NMB Mapinduzi Cup 2026 kutoka Timu ya Mlandege Jamal
Saleh Ali, wakati wa mchezo wao na Timu ya URA, uliyofanyika katika Uwanja wa New
Amaan Complex Zanzibar. Timu ya URA imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
MAMIA WAFURIKA KATIKA KAMBI YA MATIBABU YA MACHO INAYOENDESHWA NA MUHIMBILI
ZANZIBAR
-
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma katika Kambi Maalum ya
Matibabu ya Macho inayoendeshwa na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya
Taifa Muhimbi...
8 hours ago


0 Comments