Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais mhe Dkt Sada Mkuya Salum akiwasilisha Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi .
Mwenyekiti wa Kamati ya kusimamia Ofisi za Viongozi wakuu wa Kitaifa mhe Hassan Khamis Hafidh akisoma hotuba ya kamati kuhusu Mswada wa Sheria ya kuanzisha Mamlaka ya kupambana na Dawa za Kulevya, kazi, Majukumu yake na mambo mengine yanayohusiana na hayo katika Mkutano wa Tano wa Baraza la kumi la Wawakilishi
Vodacom Tanzania yapunguza uzalishaji wa hewa uchafu (Carbon Emmissions)
kwa asilimia 24 huku maboresho ya mtandao yakifikia wateja milioni 27.7
-
Vodacom Tanzania Plc leo imezindua ripoti ya Mazingira, Jamii na Utawala
(ESG) kwa mwaka uliomalizika Machi 31, 2026, ikionesha kupungua kwa
asilimia 24 ...
8 hours ago
0 Comments