Maji ni muhimu kwa kila kitu kwa matumizi yake Binadamu, Mimea na Wanyama wanahitaji maji .Kama anavyoonekana pichani Kuku huyu akijipatia maji kupitia katika bomba la kutolea maji nje katika moja ya nyumba eneo la tunguu Zanzibar Mkoa wa Kusini Unguja.
MAMIA WAFURIKA KATIKA KAMBI YA MATIBABU YA MACHO INAYOENDESHWA NA MUHIMBILI
ZANZIBAR
-
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma katika Kambi Maalum ya
Matibabu ya Macho inayoendeshwa na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya
Taifa Muhimbi...
9 hours ago
0 Comments