Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipita
na kukagua Daraja la Mkapa linalopita katika Mto Rufiji mkoani Pwani wakati
akitokea Masasi Mtwara kwenye msiba wa Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu
Benjamin William Mkapa leo tarehe 30 Julai 2020. Daraja hilo linalounganisha
Pwani na Mikoa ya Lindi na Mtwara lilijengwa na Serikali ya Awamu ya Tatu chini
ya Marehemu Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA ELIMU
-
Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha sekta ya elimu kwa
kuongeza miaka ya elimu ya lazima, kupanua fursa za elimu ya sekondari na
kuimarisha ma...
2 hours ago




0 Comments