Mshambuliaji wa Timu ya Malindi akimpita beki wa Timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika katika uwanja wa Mao Zedong. Timu hizo zimetoka sare ya bila kufungani 0-0.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
1 day ago
0 Comments