KUFUATIA Mvua Kuendelea Kunyesha katika maeneo mbali mbali ya Kisiwa Cha Pemba, nao wakulima wa minazi hawako nyuma katika kuimarisha kilimo hicho, pichani baadhi ya wananchi wakichagua minazi bora na mizuri kwenda kupanda ambapo mmoja mche wake unauzwa kati ya shilingi 2000 hadi 2500.(PICHA NA ABDI SULEIMAN.
MAMIA WAFURIKA KATIKA KAMBI YA MATIBABU YA MACHO INAYOENDESHWA NA MUHIMBILI
ZANZIBAR
-
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma katika Kambi Maalum ya
Matibabu ya Macho inayoendeshwa na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya
Taifa Muhimbi...
9 hours ago
0 Comments