Wafanyabishara ya maduka ya Sonara Mkunazini Mji Mkongwe wa Ungyuja wakiwa wameweka ndoo za maji na sabuni kwa ajili ya matumizi ya kunawa mikono kwa Wananchi wanaofika katika maduka hayo kupta huduma. kama inavyoonekani pichani hali halisi katika mtaa huo.
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
1 day ago


0 Comments