Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud akionesha picha zilizotolewa zawadi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wac majumuisho ya ziiara yake yaliofanyika katika ukumbi wa zamani Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA ELIMU
-
Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha sekta ya elimu kwa
kuongeza miaka ya elimu ya lazima, kupanua fursa za elimu ya sekondari na
kuimarisha ma...
1 hour ago
0 Comments