Washiriki wa mashindano ya wazi ya kuogelea Tanzania yaliyofanyika katika Bwawa la Skuli ya Kimataifa Zanzibar (Zanzibar International School) iliyopo Mazizini wakiwa tayari kuanza mashindano hayo.
Muogeleaji Natalie Sanford Charlotte mwenye umri wa miaka tisa kutoka Morogoro International School alieshiriki michezo nane na kunyakuwa medali sita za dhahabu na mbili za fedha akiwaongoza wenzake na kuwa mshindi wa kwanza kwa upande wa watoto. Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
Mgeni rasmi wa mashindano ya wazi ya kuogelea Tanzania yaliyofanyika tarehe 8 na 9 mwezi huu, Khamis Abdalla ambae ni Katibu wa Baraza la Taifa la Michezo Zanzibar akifuatilia mashindano hayo.
Waogeleaji wa kigeni walioshiriki mashindano ya kuogelea ya wazi Tanzania yaliyofanyika Zanziba wakichuuano vikali katika mtindo wa back stroke huku wakiwaacha kwa mbali waogeleaji wazalendo.
Muogeleaji bingwa wa mashindano ya wazi ya kuogelea Tanzania kwa upande wa watoto Natalie Sanford Charlotte akivishwa moja ya nishani ya dhahabu aliyonyakuwa katika mashindano hayo. Picha zote na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA SEKTA YA ELIMU
-
Serikali imeendelea kuchukua hatua za kuimarisha sekta ya elimu kwa
kuongeza miaka ya elimu ya lazima, kupanua fursa za elimu ya sekondari na
kuimarisha ma...
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI ATEMBELEA TCAA
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhe. Abdallah Mitawi, ametembelea
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa lengo la kufahamu kwa kina
ma...
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
0 Comments