Askari wa Usalama Barabara na Wananchi wakiangalia magari yaliogongana uso kwa uso katika barabara ya kwa boko, katika ajali hiyo iliyozihushisha gari ya daladala na gari ndogo. Dereva wa gari ndogo amepata majaraha.
MAMIA WAFURIKA KATIKA KAMBI YA MATIBABU YA MACHO INAYOENDESHWA NA MUHIMBILI
ZANZIBAR
-
Mamia ya wananchi wamejitokeza kupata huduma katika Kambi Maalum ya
Matibabu ya Macho inayoendeshwa na madaktari bingwa kutoka Hospitali ya
Taifa Muhimbi...
10 hours ago
0 Comments