MBUNGE wa jimbo la Wawi Kisiwani Pemba, Mhe: Hamad
Rashid Mohamed analiwakilisha bunge Tanzania katika bunge la Europa,
akiwaonesha wabunge wenzake wa Europa kutoka nchini Ireland, mwani unaolimwa na
wananchi wa Tumbe Wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba, wakati wa ziara ya
wabunge hao wa AWEPA.(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba, Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wabunge wa Bunge la Awepa kutoka nchini Irelanda, walipofanya ziara ya kutembelea bwawa la kufugia samaki huko Mwambe, katika ziara yao ya kuangalia miradi ya wananchi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WANANCHI ZAIDI YA 3,800 WANUFAIKA NA KAMBI YA MATIBABU NA UPASUAJI WA MACHO
ILIYOENDESHWA NA MUHIMBILI ZANZIBAR
-
Jumla ya wananchi 3,879 wamenufaika na Kambi Maalum ya Matibabu na Upasuaji
wa Macho iliyoendeshwa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa
kushirikiana...
1 day ago
0 Comments