6/recent/ticker-posts

Wabunge Wameshauri Miradi ya Kaboni Iendelee Kunufaisha Wananchi

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Ofisi ya Mhe. Reuben Kwagilwa Kazi akifafanua jambo wakati wa kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira cha kuwasilisha taarifa za Ofisi ya Makamu wa Rais kuhusu Mkakati na Mpangokazi wa Taifa wa Uhifadhi wa Bioanuwai na Mpango Mkakati wa Utoaji Elimu ya Mazingira kwa Umma kwenye kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Bunge jijini Dodoma leo Agosti, 2026.

 

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira Mhe. Jackson Kiswaga akiongoza kikao cha kupokea na kujadili taarifa za Ofisi ya Makamu wa Rais kuhusu Mkakati na Mpangokazi wa Taifa wa Uhifadhi wa Bioanuwai na Mpango Mkakati wa Utoaji Elimu ya Mazingira kwa Umma kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Bunge jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu (Muungano) Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Latifa Mohammed Khamis akishiriki kikao cha kuwasilisha taarifa za Ofisi ya Makamu wa Rais kuhusu Mkakati na Mpangokazi wa Taifa wa Uhifadhi wa Bioanuwai na Mpango Mkakati wa Utoaji Elimu ya Mazingira kwa Umma kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Bunge jijini Dodoma leo Agosti, 2026.


Post a Comment

0 Comments