Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungusha Koki ya bomba kama ishara ya Uzinduzi wa Mradi wa Maji Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Kizimkazi baada ya kuzindua Mradi wa Maji Kizimkazi katika moja ya matukio kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 13 Agosti, 2026. 
Viongozi mbalimbali pamoja na Wananchi wa Kizimkazi waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Mradi wa Maji wa Kizimkazi, katika moja ya matukio kuelekea kilele cha Tamasha la Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 13 Agosti..jpeg)





0 Comments