Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemtembelea na kumjulia hali, Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Amani Abeid Karume, katika mkazi yake, Mbweni - Unguja Zanzibar.
TIB YAUNGA MKONO AJENDA YA NISHATI SAFI KUELEKEA DIRA 2050
-
Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, akimkabidhi Tuzo pamoja na Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya
Maendeleo ...
1 day ago



0 Comments