6/recent/ticker-posts

DKT. MWIGULU ASHUHUDIA UTIAJI SAINI MAKABIDHIANO YA BOTI ZA DORIA

Muokenano wa Boti mbili za doria zenye thamani ya Shilingi Bilioni 4.2 ambazo leo tarehe 31 Julai, 2026 Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alishuhudia utiaji Saini hati ya makabidhiano ya Boti hizo kati ya Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP-TANZANIA) na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa matumizi ya Boti mbili za doria zenye thamani ya Shilingi Bilioni 4.2 iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo tarehe 31 Julai, 2026.
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba (katikati) akishuhudia utiaji Saini hati ya makabidhiano ya Boti mbili za doria kati ya Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP-TANZANIA) na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu) zenye thamani ya Shilingi Bilioni 4.2. Hafla hiyo imefanyika Jijini Dar es Salaam leo tarehe 31 Julai, 2026.  Kushoto ni Mwakilishi Mkazi wa UNDP-Tanzania, Shigeki Komatsubara na kulia ni Katibu Mkuu OWM (SBUU) Dkt. Jim Yonazi. 

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na wananchi waliojitokeza kushuhudia hafla ya utiaji Saini hati ya makabidhiano ya Boti mbili za doria kati ya Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP-TANZANIA) na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na wenye Ulemavu) zenye thamani ya Shilingi Bilioni 4.2 iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo tarehe 31 Julai, 2026.




 

Post a Comment

0 Comments