6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Kombe la FA Kati ya Kipanga na Malindi Mchezo Uliyofanyika Katika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Kipanga Imeshinda Bao 2-1

Mshambuliaji wa Timu ya Malindi akiwapita mabeki wa Timu ya Kipanga wakati wa mchezo wao Kombe la FA , mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Maso Zedong. Timu ya Kipanga imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.







 

Post a Comment

0 Comments