6/recent/ticker-posts

Mchezo wa Kombe FA Kati ya Mlandege na Inter Zanzibar Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa Mao Zedong Timu ya Mlande Imeshiba Kwa Bao 6-4

Kipa wa Timu ya Inter Zanzibar akidaka mpira wakati wa mchezo wa Kombe la FA mchezo uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong, katika mchezo huo timu hizo zimetoka sare ya bao 1-1 na kuamuliwa kwa peneti.

Timu ya Mlandege imeshinda wa mikwaji ya penenti Mlandege imeshinda  penenti 5 na Inter Zanzibar imeshinda penenti 3.






 

Post a Comment

0 Comments