Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akimkabidhi tuzo ya uwezeshaji wanawake na ujasiriamali Bi. Elizabeth Kasamila, Wakati wa kilele cha Tuzo kwa wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali maarufu “Malkia wa Nguvu” kwa Kanda ya Kati, zinazoandaliwa na Clouds Media Group, katika Ukumbi wa Mabele mkoani Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki kilele cha Tuzo kwa wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali maarufu “Malkia wa Nguvu” kwa Kanda ya Kati, zinazoandaliwa na Clouds Media Group, katika Ukumbi wa Mabele mkoani Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akihutubia wakati wa kilele cha Tuzo kwa wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali maarufu “Malkia wa Nguvu” kwa Kanda ya Kati, zinazoandaliwa na Clouds Media Group, katika Ukumbi wa Mabele mkoani Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa tuzo mbalimbali, wakati wa kilele cha Tuzo kwa wanawake waliofanya vizuri katika sekta mbalimbali maarufu “Malkia wa Nguvu” kwa Kanda ya Kati, zinazoandaliwa na Clouds Media Group, katika Ukumbi wa Mabele mkoani Dodoma.


0 Comments