Mchezaji wa Timu ya Simba na Mafunzo wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Robo Fainali ya Kombe la Muungano uliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya imeshinda mchezo huo kwa bao 1-0.
Na kutinda Nusu Fainali ya michuano hiyo kukipiga na Timu ya Mlandege katika mchezo wa Nusu Fainali utakaofanyika 26/4/2026 utakaofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar saa mbili na robo.










0 Comments