Mchezaji wa Timu ya Muembemakumbi City na Malindi wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ 2025/2026 Zanzibar , mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar, katika mchezo huo Timu ya Muembemakumbi City imeshinda mchezo huo kwa bao 2-0.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
3 hours ago












0 Comments