Mchezaji wa Timu ya Zenj Bulls akimpita mchezaji wa Timu ya Stone Town wakati wa mchezo wao wa Ligi Kanda ya Unguja uliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedong Jijini Zanzibar. katika mchezo huo Timu ya Stone Town imeshinda kwa vikapu 93-38. mchezo huo uliyofanyika leo 6-12-2025.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
5 hours ago
























0 Comments